Language

Mradi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Afya Endelevu unasaidia Serikali ya Tanzania kushugulikia mapengo ya rasilimali watu kwa ajili ya afya (HRH) katika ngazi ya kitaifa, kikanda na serikali za mitaa. Madhumuni ya mradi wa Afya Endelevu ni kubuni na kutekeleza mbinu endelevu za uajiri, upelekaji na usimamizi wa rasilimali watu kwa ajili ya afya.